Swali: Je, anayefanya kazi benki amelaaniwa?
Jibu: Anaingia katika kundi hili; mla ribaa, mtoa riba, mwandishi na shahidi wake, kwani wote ni wasaidizi wa batili. Allaah amesema:
وَلَا تَعَاوَنُوا عَلَى الْإِثْمِ وَالْعُدْوَانِ
“Wala msishirikiane katika dhambi na uadui.” (05:02)
Hukumu hiyohiyo inawagusa wafanyakazi wengine wa benki.
Swali: Je, hii ni miongoni mwa madhambi makubwa?
Jibu: Ndiyo, ni miongoni mwa madhambi makubwa, kwani madhambi ambayo mtendaji wake amelaaniwa ni katika madhambi makubwa. Tunamuomba Allaah usalama.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31638/من-يعمل-في-البنك-هل-هو-ملعون
- Imechapishwa: 12/11/2025
Swali: Je, anayefanya kazi benki amelaaniwa?
Jibu: Anaingia katika kundi hili; mla ribaa, mtoa riba, mwandishi na shahidi wake, kwani wote ni wasaidizi wa batili. Allaah amesema:
وَلَا تَعَاوَنُوا عَلَى الْإِثْمِ وَالْعُدْوَانِ
“Wala msishirikiane katika dhambi na uadui.” (05:02)
Hukumu hiyohiyo inawagusa wafanyakazi wengine wa benki.
Swali: Je, hii ni miongoni mwa madhambi makubwa?
Jibu: Ndiyo, ni miongoni mwa madhambi makubwa, kwani madhambi ambayo mtendaji wake amelaaniwa ni katika madhambi makubwa. Tunamuomba Allaah usalama.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31638/من-يعمل-في-البنك-هل-هو-ملعون
Imechapishwa: 12/11/2025
https://firqatunnajia.com/laana-kwa-anayefanya-kazi-benki/