Swali: Inajuzu kwa mwanamke mtumzima ambaye ana uzito wa kutia wudhuu´ kujumuisha kati ya Dhuhr na ´Aswr, Magrhrib na ´Ishaa? Je, inafaa kwake kufanya Tayammum?
Jibu: Ikiwa ana uzito wa kuswali basi hukumu yake ni kama ya mgonjwa. Hivyo ataruhusika kukusanya kati ya swalah mbili. Lakini hata hivyo asizifupishe. Bali ataswali Dhuhr Rak´ah nne na ´Aswr Rak´ah nne katika wakati mmoja. Kadhalika Maghrib Rak´ah tatu na ´Ishaa Rak´ah nne katika wakati mmoja, kama anavofanya mgonjwa.
Kuhusu kufanya Tayammum haifai kwake. Ni lazima kwake kutawadha na awe na mtu wa kumsaidia [kutia wudhuu´].
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (10) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191426#219753
- Imechapishwa: 12/04/2019
Swali: Inajuzu kwa mwanamke mtumzima ambaye ana uzito wa kutia wudhuu´ kujumuisha kati ya Dhuhr na ´Aswr, Magrhrib na ´Ishaa? Je, inafaa kwake kufanya Tayammum?
Jibu: Ikiwa ana uzito wa kuswali basi hukumu yake ni kama ya mgonjwa. Hivyo ataruhusika kukusanya kati ya swalah mbili. Lakini hata hivyo asizifupishe. Bali ataswali Dhuhr Rak´ah nne na ´Aswr Rak´ah nne katika wakati mmoja. Kadhalika Maghrib Rak´ah tatu na ´Ishaa Rak´ah nne katika wakati mmoja, kama anavofanya mgonjwa.
Kuhusu kufanya Tayammum haifai kwake. Ni lazima kwake kutawadha na awe na mtu wa kumsaidia [kutia wudhuu´].
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (10) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191426#219753
Imechapishwa: 12/04/2019
https://firqatunnajia.com/la-kufanya-kwa-mzee-mwenye-uzito-wa-kuswali-kila-swalah-kwa-wakati-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)