Swali: Ni ipi hukumu maamuma kwenda sambamba na imamu katika matendo ya swalah?
Jibu: Maoni yaliyo karibu zaidi na haki ni uharamu kwa mujibu wa udhahiri wa maandiko. Baadhi ya wanazuoni wanaona kuwa inachukiza. Maoni yaliyo karibu zaidi na haki kwa mujibu wa maandiko ni uharamu.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21968/حكم-مساواة-الماموم-للامام-في-افعال-الصلاة
- Imechapishwa: 14/01/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)