Swali: Mtu ambaye anakuja kuswali msikitini akiwa na nguo za kulalia (pyamas) anatakiwa kukemewa na khaswakhaswa ikiwa ni msikiti Mtakatifu? Watu wengi wanafanya hivo.
Jibu: Swalah ni sahihi. Lakini bora ni yeye kuja na nguo nzuri. Kunaweza kusemwa kwamba ni kwenda kinyume na muruwa ikiwa kitendo hicho kinaenda kinyume na desturi za watu. Haitakiwi kwa mtu kuja na nguo zinazokwenda kinyume na desturi za watu. Kwa sababu ni kwenda kinyume na muruwa. Ama kuhusu swalah yenyewe ni sahihi endapo nguo hiyo itakuwa ni safi na ni yenye kusitiri vile viungo visivyotakiwa kuonekana.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (08) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191309#219638
- Imechapishwa: 01/03/2019
Swali: Mtu ambaye anakuja kuswali msikitini akiwa na nguo za kulalia (pyamas) anatakiwa kukemewa na khaswakhaswa ikiwa ni msikiti Mtakatifu? Watu wengi wanafanya hivo.
Jibu: Swalah ni sahihi. Lakini bora ni yeye kuja na nguo nzuri. Kunaweza kusemwa kwamba ni kwenda kinyume na muruwa ikiwa kitendo hicho kinaenda kinyume na desturi za watu. Haitakiwi kwa mtu kuja na nguo zinazokwenda kinyume na desturi za watu. Kwa sababu ni kwenda kinyume na muruwa. Ama kuhusu swalah yenyewe ni sahihi endapo nguo hiyo itakuwa ni safi na ni yenye kusitiri vile viungo visivyotakiwa kuonekana.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (08) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191309#219638
Imechapishwa: 01/03/2019
https://firqatunnajia.com/kwenda-msikitini-na-nguo-za-kulalia-02/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)