Swali 35: Ni ipi hukumu ya mwenye kusema kuwa kwenda Makkah wakati wa Ramadhaan kwa ajili ya kufunga na kuswali swalah ya usiku ni Bid´ah?
Jibu: Maneno haya ni ujinga mtupu. Bali kwenda Makkah ni ´ibaadah na utii muda wa kuwa tu hakuathiri kitu bora zaidi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 37
- Imechapishwa: 26/07/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 35: Ni ipi hukumu ya mwenye kusema kuwa kwenda Makkah wakati wa Ramadhaan kwa ajili ya kufunga na kuswali swalah ya usiku ni Bid´ah?
Jibu: Maneno haya ni ujinga mtupu. Bali kwenda Makkah ni ´ibaadah na utii muda wa kuwa tu hakuathiri kitu bora zaidi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 37
Imechapishwa: 26/07/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/kwenda-makkah-katika-ramadhaan/