Swali: Mwenye kuzini na akatangaza hilo mbele za watu kwa njia ya kwamba akarekodi hilo kwenye mkanda na kuonyesha namna ya kuzini, hilo linamfanya kuritadi na atadumishwa kwenye Moto wa Jahannam milele? Mimi nimemsikia mwenye kusema hivo.
Jibu: Akihalalisha hilo anaritadi. Ama maadamu hajahalalisha, ni Faasiq.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (07) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_07.mp3
- Imechapishwa: 27/06/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket