Swali: Mwenye kuzini na akatangaza hilo mbele za watu kwa njia ya kwamba akarekodi hilo kwenye kanda na kuonesha namna ya kuzini, hilo linamfanya kuritadi na atadumishwa milele Motoni? Mimi nimemsikia mwenye kusema hivo.
Jibu: Akihalalisha hilo anaritadi. Ama muda wa kuwa hajahalalisha ni fasiki.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (07) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_07.mp3
- Imechapishwa: 01/06/2015
Swali: Mwenye kuzini na akatangaza hilo mbele za watu kwa njia ya kwamba akarekodi hilo kwenye kanda na kuonesha namna ya kuzini, hilo linamfanya kuritadi na atadumishwa milele Motoni? Mimi nimemsikia mwenye kusema hivo.
Jibu: Akihalalisha hilo anaritadi. Ama muda wa kuwa hajahalalisha ni fasiki.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (07) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_07.mp3
Imechapishwa: 01/06/2015
https://firqatunnajia.com/kwanini-wasikufurishwe-waislamu-wachezaji-filamu-za-ngono__trashed/