Swali 240: Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu ni kipi kinaitoa Hadiyth inayosema:
“… na atake kinga kwa Allaah dhidi ya mambo manne…”
kutoka katika uwajibu na kwenda katika mapendekezo?
Jibu: Hadiyth nyingine inayosema:
“Kisha achague katika du´aa anayotaka.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 94
- Imechapishwa: 08/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 240: Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu ni kipi kinaitoa Hadiyth inayosema:
“… na atake kinga kwa Allaah dhidi ya mambo manne…”
kutoka katika uwajibu na kwenda katika mapendekezo?
Jibu: Hadiyth nyingine inayosema:
“Kisha achague katika du´aa anayotaka.”
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 94
Imechapishwa: 08/05/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/kwanini-si-wajibu-kuomba-kinga-dhidi-ya-mambo-4-kwenye-tashahhud/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
