Swali: Ni ipi hukumu ya Shari´ah juu ya yule mwenye kupiga mapaja yake kabla ya kutoa salamu kutoka katika swalah na baada ya Tashahhud ya mwisho? Je, jambo hilo lina msingi?
Jibu: Kufanya hivi kunaweza kuwa ni miongoni mwa alama za Raafidhwah ambapo wanaashiria kuwa Jibriyl alikosea katika ujumbe. Ikiwa hii ndio maana yake basi hii ni dalili ya kwamba huyu ni Raafidhwiy. Mtu huyu anakuwa ni mwenye kuritadi ikiwa anaamini imani hii.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (04) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191047#191047
- Imechapishwa: 03/09/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)