Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kuwatukana na kuwaponda Maswahabah?
Jibu: Mwenye kuwatukana Maswahabah – kama wafanyavyo Raafidhwah – ni kafiri.
Swali: Ni jambo linalofikia katika kufuru?
Jibu: Ndio. Kwa sababu maana yake ni [sauti haiko wazi]. Kwa sababu wao ndio wabebaji wa Shari´ah. Maana yake ni kwamba wao sio waadilifu.
Lakini hata hivyo hakufuru akiwatukana baadhi yao. Kwa mfano wanayofanya baadhi ya watu wanapomtukana kama mfano wa Mu´aawiyah. Haya ni maasi na dhambi kubwa. Sio kufuru.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-´Aqiydah al-Waasitwiyyah (04)
- Imechapishwa: 09/08/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket