Swali: Dhambi ambazo zina kujifananisha na makafiri na wanawake, kama mfano wa kunyoa ndevu, kunazingatiwa kuwa ni dhambi kubwa?
Jibu: Ni kujifananisha na wanawake. Vilevile kuna laana juu ya hili. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewalaani wanaume wenye kujifananisha na wanawake na amewalaani wanawake wenye kujifananisha na wanaume. Hii ni dhambi kubwa kwa ajili ya laana na sio kwa ajili ya kujifananisha.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (07) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_07.mp3
- Imechapishwa: 27/06/2018
Swali: Dhambi ambazo zina kujifananisha na makafiri na wanawake, kama mfano wa kunyoa ndevu, kunazingatiwa kuwa ni dhambi kubwa?
Jibu: Ni kujifananisha na wanawake. Vilevile kuna laana juu ya hili. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewalaani wanaume wenye kujifananisha na wanawake na amewalaani wanawake wenye kujifananisha na wanaume. Hii ni dhambi kubwa kwa ajili ya laana na sio kwa ajili ya kujifananisha.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (07) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_07.mp3
Imechapishwa: 27/06/2018
https://firqatunnajia.com/kwa-sababu-kunyoa-ndevu-ni-dhambi-kubwa/