Swali 188: Ni mara ngapi anatakiwa kusema: “Swalah ya mkusanyiko”?

Jibu: Kulingana na haja.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 84
  • Imechapishwa: 05/04/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´