Swali: Ni ipi hukumu ya msemo:

”Kwa haki ya jaha ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) utabaki kwangu.”?

Jibu: Ni miongoni mwa njia za shirki. Jaha, haki ya jaha ya Mtume na kuapa kwa Mtume ni miongoni mwa njia za shirki. Kwa hivyo ni wajibu kujihadhari kusema hivo.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24502/حكم-قول-بحق-جاه-النبي
  • Imechapishwa: 19/10/2024