Swali: Nilikuwa nimesibiwa na uchawi. Nikaambiwa na ndugu mmoja nikariri Aayat-ul-Kursiy mara mia, maneno Yake (Ta´ala):
أَيْنَ مَا تَكُونُواْ يَأْتِ بِكُمُ اللّهُ جَمِيعًا
“Popote mtapokuweko Allaah atakuleteni nyote.” (2:148)
Je, kitendo hichi kimewekwa katika Shari´ah?
Jibu: Muulize dalili juu ya hili. Akikuletea dalili juu ya hili, hakuna neno. Ama ikiwa hakuna dalili, haifai. Kuziwekea mpaka Aayah, Suurah au idadi pasina dalili haikubaliki. Hata hivyo Qur-aan yote ni shifaa na himidi zote ni za Allaah. Qur-aan nzima yote ni shifaa. Kuna baadhi ya Aayah zinakhusishwa katika baadhi ya maradhi. Kama kwa mfano Aayah za uchawi zinakhusishwa kwa uchawi, zinasomwa kwa waliofanyiwa uchawi. Kadhalika Suurat-ul-Faatihah ni Ruqyah, kuna andiko juu ya hilo na Ijmaa´. Kadhalika al-Ikhlaasw, al-Falaq na an-Naas, anasomewa nazo mgonjwa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/iglhfn-07-01-1435_0.mp3
- Imechapishwa: 06/10/2020
Swali: Nilikuwa nimesibiwa na uchawi. Nikaambiwa na ndugu mmoja nikariri Aayat-ul-Kursiy mara mia, maneno Yake (Ta´ala):
أَيْنَ مَا تَكُونُواْ يَأْتِ بِكُمُ اللّهُ جَمِيعًا
“Popote mtapokuweko Allaah atakuleteni nyote.” (2:148)
Je, kitendo hichi kimewekwa katika Shari´ah?
Jibu: Muulize dalili juu ya hili. Akikuletea dalili juu ya hili, hakuna neno. Ama ikiwa hakuna dalili, haifai. Kuziwekea mpaka Aayah, Suurah au idadi pasina dalili haikubaliki. Hata hivyo Qur-aan yote ni shifaa na himidi zote ni za Allaah. Qur-aan nzima yote ni shifaa. Kuna baadhi ya Aayah zinakhusishwa katika baadhi ya maradhi. Kama kwa mfano Aayah za uchawi zinakhusishwa kwa uchawi, zinasomwa kwa waliofanyiwa uchawi. Kadhalika Suurat-ul-Faatihah ni Ruqyah, kuna andiko juu ya hilo na Ijmaa´. Kadhalika al-Ikhlaasw, al-Falaq na an-Naas, anasomewa nazo mgonjwa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/iglhfn-07-01-1435_0.mp3
Imechapishwa: 06/10/2020
https://firqatunnajia.com/kuziwekea-mpaka-suurah-aayah-na-idadi-maalum-katika-ruqyah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)