Swali: Mtunzi wa “ar-Rawdhw al-Murbi’” ametaja kwamba ikiwa mwenye kuhiji amekusanya vijiwe vyote katika siku za Tashriyq kisha akaamua kutoka Minaa tarehe 12, basi azike vijiwe vilivyokuwa vimekusudiwa tarehe 13. Je, ni jambo lililowekwa katika Shari´ah?
Jibu: Hayo yanafanywa na wale wasiokuwa wasomi, lakini kitendo hicho hakina msingi. Yasizikwe. Yarushe Minaa. Huenda mtu mwingine akaviokota. Au vilevile unaweza kumpa mtu mwengine avirushe. Ama kuhusu kuvizika ni jambo lisilokuwa na dalili.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (23) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 19/04/2020
Swali: Mtunzi wa “ar-Rawdhw al-Murbi’” ametaja kwamba ikiwa mwenye kuhiji amekusanya vijiwe vyote katika siku za Tashriyq kisha akaamua kutoka Minaa tarehe 12, basi azike vijiwe vilivyokuwa vimekusudiwa tarehe 13. Je, ni jambo lililowekwa katika Shari´ah?
Jibu: Hayo yanafanywa na wale wasiokuwa wasomi, lakini kitendo hicho hakina msingi. Yasizikwe. Yarushe Minaa. Huenda mtu mwingine akaviokota. Au vilevile unaweza kumpa mtu mwengine avirushe. Ama kuhusu kuvizika ni jambo lisilokuwa na dalili.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (23) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
Imechapishwa: 19/04/2020
https://firqatunnajia.com/kuzika-vijiwe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)