Swali: Ni ipi hukumu ya kuzichonga ndevu pasi na kuzinyoa?
Jibu: Haijuzu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Ziacheni ndevu… “
“Zifugeni ndevu… “
“Zirefusheni ndevu… “
Haijuzu kuzishambulia kwa kuzikata, kuzichonga wala kuzinyoa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18073
- Imechapishwa: 04/08/2019
Swali: Ni ipi hukumu ya kuzichonga ndevu pasi na kuzinyoa?
Jibu: Haijuzu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Ziacheni ndevu… “
“Zifugeni ndevu… “
“Zirefusheni ndevu… “
Haijuzu kuzishambulia kwa kuzikata, kuzichonga wala kuzinyoa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18073
Imechapishwa: 04/08/2019
https://firqatunnajia.com/kuzichonga-ndevu-bila-ya-kuzinyoa/