Swali: Je, msomaji ataweka mkono wake kwenye kiungo kinachouma cha mgonjwa? Na je, hili limethibiti katika Sunnah kutoka kwa Mtume wetu (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Ndio. Imethibtii kuwa mkono wa msomaji atauweka mahali pa maradhi, sawa ikiwa najisomea mwenyewe au anasomea wengine. Msomaji ataweka mkono wake mahali pa maumivu na kusoma Ruqyah. Hii inakuwa sababu zaidi ya dawa kwa idhini ya Allaah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=SnJWTFGvR2I
- Imechapishwa: 23/03/2018
Swali: Je, msomaji ataweka mkono wake kwenye kiungo kinachouma cha mgonjwa? Na je, hili limethibiti katika Sunnah kutoka kwa Mtume wetu (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Ndio. Imethibtii kuwa mkono wa msomaji atauweka mahali pa maradhi, sawa ikiwa najisomea mwenyewe au anasomea wengine. Msomaji ataweka mkono wake mahali pa maumivu na kusoma Ruqyah. Hii inakuwa sababu zaidi ya dawa kwa idhini ya Allaah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=SnJWTFGvR2I
Imechapishwa: 23/03/2018
https://firqatunnajia.com/kuweka-mkono-mahali-pa-maradhi-wakati-wa-ruqyah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)