Swali: Ni yapi maoni yako kwa kitendo kinachofanywa na baadhi wanaweka kitambaa juu ya kaburi wakati wa kumshusha mwanamke ndani ya kaburi lake?
Jibu: Ndio. Kaburi la mwanamke lisitiriwe wakati wa kumshusha, sawa ikiwa ni kwa [kuweka] kitambaa au kitu kingine. Ama kuhusu mwanaume hakuna haja ya kuweka sitara.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (73) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14115
- Imechapishwa: 17/11/2014
Swali: Ni yapi maoni yako kwa kitendo kinachofanywa na baadhi wanaweka kitambaa juu ya kaburi wakati wa kumshusha mwanamke ndani ya kaburi lake?
Jibu: Ndio. Kaburi la mwanamke lisitiriwe wakati wa kumshusha, sawa ikiwa ni kwa [kuweka] kitambaa au kitu kingine. Ama kuhusu mwanaume hakuna haja ya kuweka sitara.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (73) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14115
Imechapishwa: 17/11/2014
https://firqatunnajia.com/kuweka-kitambaa-juu-wakati-wa-kumshusa-mwanamke-kwenye-kaburi/