Swali: Tunaona ´Awwaam wengi namna ambavyo wanafungua maji bombani kwa nguvu na maji yanaharibiwa. Tunaweza kuweka ilani ya Hadiyth:
“Usifanye israfu hata kama utakuwa katika mto unaokwenda kwa kasi.”
chooni na kwenye bomba?
Jibu: Hapana. Usitundike kitu. Badala yake wafunze watu misikitini na katika durusi. Wafunzeni watu pasi na ilani. Ilani sio masomo. Hawajali ilani.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (37) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%201%20-%2011%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 13/02/2017
Swali: Tunaona ´Awwaam wengi namna ambavyo wanafungua maji bombani kwa nguvu na maji yanaharibiwa. Tunaweza kuweka ilani ya Hadiyth:
“Usifanye israfu hata kama utakuwa katika mto unaokwenda kwa kasi.”
chooni na kwenye bomba?
Jibu: Hapana. Usitundike kitu. Badala yake wafunze watu misikitini na katika durusi. Wafunzeni watu pasi na ilani. Ilani sio masomo. Hawajali ilani.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (37) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%201%20-%2011%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 13/02/2017
https://firqatunnajia.com/kuweka-ilani-msikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket