Swali: Je, ni katika mfumo wa Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah kuwazungumzia vibaya watawala na kuonesha makosa yao mbele za watu aina yote?
Jibu: Hapana, jambo hilo sio katika mfumo wa Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. Kuwachochea watu dhidi ya watawala, kuwafanya wakamchukia na kumgeuzia mgongo, sio katika mfumo wa Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbaad
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kanda ”al-Hamalaat al-I´laaniyyah dhiwdd Hukkaam wa ´Ulamaa’ Bilaad-il-Haramayn”
- Imechapishwa: 05/09/2020
Swali: Je, ni katika mfumo wa Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah kuwazungumzia vibaya watawala na kuonesha makosa yao mbele za watu aina yote?
Jibu: Hapana, jambo hilo sio katika mfumo wa Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. Kuwachochea watu dhidi ya watawala, kuwafanya wakamchukia na kumgeuzia mgongo, sio katika mfumo wa Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbaad
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kanda ”al-Hamalaat al-I´laaniyyah dhiwdd Hukkaam wa ´Ulamaa’ Bilaad-il-Haramayn”
Imechapishwa: 05/09/2020
https://firqatunnajia.com/kuwatukana-viongozi-sio-katika-madhehebu-ya-ahl-us-sunnah/