713 – Shaykh wetu alisema: Kinachojulikana kuhusu kuwazuru wagonjwa ni kuwa ni Sunnah iliyokokotezwa. Nikamuuliza Shaykh wetu ni kipi kinachogeuza amri ya:
”Mtembeeni mgonjwa.”
kutoka katika uwajibu?
Jibu: Allaah ndiye anajua zaidi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 250
- Imechapishwa: 05/07/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
713 – Shaykh wetu alisema: Kinachojulikana kuhusu kuwazuru wagonjwa ni kuwa ni Sunnah iliyokokotezwa. Nikamuuliza Shaykh wetu ni kipi kinachogeuza amri ya:
”Mtembeeni mgonjwa.”
kutoka katika uwajibu?
Jibu: Allaah ndiye anajua zaidi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 250
Imechapishwa: 05/07/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/kuwatembelea-wagonjwa-sunnah-iliyokokotezwa/