713 – Shaykh wetu alisema: Kinachojulikana kuhusu kuwazuru wagonjwa ni kuwa ni Sunnah iliyokokotezwa. Nikamuuliza Shaykh wetu ni kipi kinachogeuza amri ya:
”Mtembeeni mgonjwa.”
kutoka katika uwajibu?
Jibu: Allaah ndiye anajua zaidi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 250
- Imechapishwa: 05/07/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket