Swali: Ni ipi hukumu ya kuwatahadharisha na kuwakashifu Ahl-ul-Bid´ah kwenye vyombo vya mawasiliano?
Jibu: Ni vizuri ikiwa lengo ni kutahadharisha nao. Ni jambo zuri kuwakashifu kwa lengo la kuwatahadharisha na kuwakemea.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (62) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd14-07-%201438.mp3
- Imechapishwa: 22/07/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)