Swali: Baadhi ya watu wanawaita watoto wao kwa majina ya Aayah kama mfano wa Afnaan (أفنان), Aalaa´ (آلاء) na nyenginezo. Ni yepi maoni yako?
Jibu: Hakuna ubaya katika hilo na hivi ni viumbe. Aalaa´ ni neema na Afnaan ni matawi. Watu wamekuwa ni wenye kubadilishabadilisha majina na wanawatafutia watoto wao wa kike na watoto wao kiume majina mapya.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (9/417)
- Imechapishwa: 24/07/2021
Swali: Baadhi ya watu wanawaita watoto wao kwa majina ya Aayah kama mfano wa Afnaan (أفنان), Aalaa´ (آلاء) na nyenginezo. Ni yepi maoni yako?
Jibu: Hakuna ubaya katika hilo na hivi ni viumbe. Aalaa´ ni neema na Afnaan ni matawi. Watu wamekuwa ni wenye kubadilishabadilisha majina na wanawatafutia watoto wao wa kike na watoto wao kiume majina mapya.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (9/417)
Imechapishwa: 24/07/2021
https://firqatunnajia.com/kuwapa-watoto-wachanga-majina-ya-aayah-za-qur-aan/