Swali: Mtoto wa kaka yangu amefariki na alikuwa na miaka kumi na tano. Nimemlea tangu alipokuwa na umri wa mwaka mmoja. Je, ataniombea uombezi siku ya Qiyaamah?
Jibu: Una ujira wa udugu kwa kuwa ni mtoto wa kaka yako na una ujira wa uyatima kwa kuwa umemtendea yatima wema. Una ujira mara mbili; ujira wa udugu na kumtedea yatima wema.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-07-18.mp3
- Imechapishwa: 09/08/2020
Swali: Mtoto wa kaka yangu amefariki na alikuwa na miaka kumi na tano. Nimemlea tangu alipokuwa na umri wa mwaka mmoja. Je, ataniombea uombezi siku ya Qiyaamah?
Jibu: Una ujira wa udugu kwa kuwa ni mtoto wa kaka yako na una ujira wa uyatima kwa kuwa umemtendea yatima wema. Una ujira mara mbili; ujira wa udugu na kumtedea yatima wema.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-07-18.mp3
Imechapishwa: 09/08/2020
https://firqatunnajia.com/kuwalea-mayatima-wa-ndugu-yako/