Swali: Ni ipi hukumu ya mtu aliyemwakilisha mwingine vijiwe ilihali anahiji Hijjah ya faradhi?
Jibu: Iwapo ana udhuru wa kushindwa kupiga vijiwe mwenyewe, kama ugonjwa, udogo wa umri, udhaifu wa mwili au akiwa ni mwanamke asiyeweza kustahimili msongamano, akiwa mgonjwa, mjamzito au mfano wa udhuru kama huo, basi uwakilishi wake ni sahihi. Ama akiwa na nguvu na hana udhuru wowote, basi uwakilishi haukubaliki. Bali anapaswa kupiga vijiwe mwenyewe.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1964/حكم-التوكيل-في-الرمي-في-الحج
- Imechapishwa: 02/01/2026
Swali: Ni ipi hukumu ya mtu aliyemwakilisha mwingine vijiwe ilihali anahiji Hijjah ya faradhi?
Jibu: Iwapo ana udhuru wa kushindwa kupiga vijiwe mwenyewe, kama ugonjwa, udogo wa umri, udhaifu wa mwili au akiwa ni mwanamke asiyeweza kustahimili msongamano, akiwa mgonjwa, mjamzito au mfano wa udhuru kama huo, basi uwakilishi wake ni sahihi. Ama akiwa na nguvu na hana udhuru wowote, basi uwakilishi haukubaliki. Bali anapaswa kupiga vijiwe mwenyewe.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1964/حكم-التوكيل-في-الرمي-في-الحج
Imechapishwa: 02/01/2026
https://firqatunnajia.com/kuwakilisha-mtu-akurushie-vijiwe-katika-hajj/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket