Swali: Ni ipi hukumu ya kumwita mjomba, shangazi na khalati kwa Kunyah yao?
Jibu: Ni sawa ikiwa Kunyah zao hazina kitu kinacholaumika.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqu-%2020-08-1435.mp3
- Imechapishwa: 09/04/2015
Swali: Ni ipi hukumu ya kumwita mjomba, shangazi na khalati kwa Kunyah yao?
Jibu: Ni sawa ikiwa Kunyah zao hazina kitu kinacholaumika.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqu-%2020-08-1435.mp3
Imechapishwa: 09/04/2015
https://firqatunnajia.com/kuwaita-wajomba-na-mashangazi-kwa-kunyah-zao/