Swali: Vipi kuwaendea wanajimu na kuwasadikisha?
Jibu: Hili linahusiana na wapiga ramli. Haijuzu kuwaendea wapiga ramli. Ni moja katika madhambi makubwa. Akiwasadikisha anakufuru. Tunamuomba Allaah usalama. Haijuzu kuwauliza ingawa hawakusadikisha. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Yeyote atakayemwendea mpiga ramli na akamuuliza juu ya kitu, basi hazitokubaliwa swalah zake nyusiku arobaini.”
Hata asipowasadikisha. Tunamuomba Allaah usalama. Kitendo hicho kinapelekea kusema kutambua elimu iliyofichikana.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23926/حكم-الذهاب-للمنجمين-وتصديقهم
- Imechapishwa: 01/06/2024
Swali: Vipi kuwaendea wanajimu na kuwasadikisha?
Jibu: Hili linahusiana na wapiga ramli. Haijuzu kuwaendea wapiga ramli. Ni moja katika madhambi makubwa. Akiwasadikisha anakufuru. Tunamuomba Allaah usalama. Haijuzu kuwauliza ingawa hawakusadikisha. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Yeyote atakayemwendea mpiga ramli na akamuuliza juu ya kitu, basi hazitokubaliwa swalah zake nyusiku arobaini.”
Hata asipowasadikisha. Tunamuomba Allaah usalama. Kitendo hicho kinapelekea kusema kutambua elimu iliyofichikana.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23926/حكم-الذهاب-للمنجمين-وتصديقهم
Imechapishwa: 01/06/2024
https://firqatunnajia.com/kuwaendea-wanajimu-na-kuwasadikisha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
