Swali: Hadiyth ipi ina mnasaba upi na ni ipi maana yake. Nayo ni maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Hakuna anayemchukia ´Aliy isipokuwa mnafiki tu”?
Jibu: Hakuna anayewachukia Maswahabah isipokuwa ni mnafiki. Inahusiana na Maswahabah wote. Hakuna anayewachukia isipokuwa mnafiki tu. Muumini tu ndiye anawapenda.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_13.mp3
- Imechapishwa: 15/06/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)