Swali: Mimi nina binamu yangu wa kike ambaye amefikisha miaka sabini. Je, inafaa kumbusu kichwa chake juu ya Hijaab yake au kusalimiana naye kwa kupeana mkono kutokana na uzee wake?
Jibu: Haifai kwako kusalimiana naye kwa kupeana mkono wala kumbusu kichwa chake wala mwenginewe. Bali kilichowekwa katika Shari´ah ni kusaliama naye kwa maneno peke yake ingawa atakuwa kikongwe. Kwa sababu sio Mahram yako. Hakuna neno ukamuuliza hali yake na hali ya watoto wake na mfano wa hayo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Mimi sipeani mikono na wanawake.”
Wanaingia wazee pia na wengine. ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:
”Naapa kwa Allaah mkono wa Mtume wa Allaah haukupatapo hata siku moja kugusa mkono wa mwanamke. Walikuwa wakila kiapo kwake kwa maneno peke yake.”
Bi maana wanawake wasiokuwa Mahram zake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (07/183)
- Imechapishwa: 13/06/2021
Swali: Mimi nina binamu yangu wa kike ambaye amefikisha miaka sabini. Je, inafaa kumbusu kichwa chake juu ya Hijaab yake au kusalimiana naye kwa kupeana mkono kutokana na uzee wake?
Jibu: Haifai kwako kusalimiana naye kwa kupeana mkono wala kumbusu kichwa chake wala mwenginewe. Bali kilichowekwa katika Shari´ah ni kusaliama naye kwa maneno peke yake ingawa atakuwa kikongwe. Kwa sababu sio Mahram yako. Hakuna neno ukamuuliza hali yake na hali ya watoto wake na mfano wa hayo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Mimi sipeani mikono na wanawake.”
Wanaingia wazee pia na wengine. ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:
”Naapa kwa Allaah mkono wa Mtume wa Allaah haukupatapo hata siku moja kugusa mkono wa mwanamke. Walikuwa wakila kiapo kwake kwa maneno peke yake.”
Bi maana wanawake wasiokuwa Mahram zake.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (07/183)
Imechapishwa: 13/06/2021
https://firqatunnajia.com/kuwabusu-mabinamu-wa-kike-na-kupeana-nao-mikono/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)