Swali: Nikiona sanamu linauzwa kwenye duka miongoni mwa maduka. Ni lazima kwangu kulivunja na kuliondosha?
Jibu: Humiliki jambo hilo. Nenda kawashtaki kwa polisi au mfikishie khabari mtawala ikiwa unaweza kufanya hivo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (107) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoulahfan-22-06-1441.mp3
- Imechapishwa: 05/09/2020
Swali: Nikiona sanamu linauzwa kwenye duka miongoni mwa maduka. Ni lazima kwangu kulivunja na kuliondosha?
Jibu: Humiliki jambo hilo. Nenda kawashtaki kwa polisi au mfikishie khabari mtawala ikiwa unaweza kufanya hivo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (107) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoulahfan-22-06-1441.mp3
Imechapishwa: 05/09/2020
https://firqatunnajia.com/kuvunja-sanamu-linalouzwa-kwenye-dula-la-mtu/