Swali: Anayesema kwamba kuvaa nguo mpaka nusu muundi hii leo ni katika kutafuta umaarufu?
Jibu: Hapana, ni kosa. Inafaa kuvaa mpaka nusu muundi. Bali kwa mujibu wa kikosi cha wanazuoni ndio bora zaidi. Isipokuwa ikiwa inapelekea katika majambo, katika hali hiyo aiteremshe mpaka juu ya mafundo ya miguu. Asijitie katika mambo yatayomdhuru. Kuvaa mpaka nusu muundi na mpaka juu ya vifundo vya miguu yote yanafaa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24085/هل-يعد-اللبس-الى-نصف-الساقين-من-الشهرة
- Imechapishwa: 25/08/2024
Swali: Anayesema kwamba kuvaa nguo mpaka nusu muundi hii leo ni katika kutafuta umaarufu?
Jibu: Hapana, ni kosa. Inafaa kuvaa mpaka nusu muundi. Bali kwa mujibu wa kikosi cha wanazuoni ndio bora zaidi. Isipokuwa ikiwa inapelekea katika majambo, katika hali hiyo aiteremshe mpaka juu ya mafundo ya miguu. Asijitie katika mambo yatayomdhuru. Kuvaa mpaka nusu muundi na mpaka juu ya vifundo vya miguu yote yanafaa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24085/هل-يعد-اللبس-الى-نصف-الساقين-من-الشهرة
Imechapishwa: 25/08/2024
https://firqatunnajia.com/kuvaa-nguo-mpaka-nusu-muundi-ni-kutafuta-umaarufu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket