Swali: Mtu anaweza kusema kuwa kuharamishwa kuvaa nguo inayovuka vifundo vya miguu sababu yake ni kiburi?
Jibu: Ni njia inayopelekea huko. Ni kipi kilichomfanya akaburuza nguo kama sio kiburi? Hakuna kingine isichokuwa kiburi.
Swali: Ikiwa mshonaji ndiye kafanya hivo?
Jibu: Aibadilishe na amwamrisha aipandishe, mke wake au ndugu yake aipandishe. Hakuna kilichompelekea kufanya hivo isipokuwa kiburi na kuchukulia wepesi amri ya Allaah na kutojali. Isitoshe huyu amefungua mlango wa isbaal na majanga. Baadhi ya watu hawajali. Hawajali hata kama kitu kinachukiza. Kwa mtazamo wao wanaona kinachochukiza ni sawa tu. Matokeo yake wanakifanya na hawajali.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24084/هل-تحريم-الاسبال-مقيد-بالتكبر
- Imechapishwa: 25/08/2024
Swali: Mtu anaweza kusema kuwa kuharamishwa kuvaa nguo inayovuka vifundo vya miguu sababu yake ni kiburi?
Jibu: Ni njia inayopelekea huko. Ni kipi kilichomfanya akaburuza nguo kama sio kiburi? Hakuna kingine isichokuwa kiburi.
Swali: Ikiwa mshonaji ndiye kafanya hivo?
Jibu: Aibadilishe na amwamrisha aipandishe, mke wake au ndugu yake aipandishe. Hakuna kilichompelekea kufanya hivo isipokuwa kiburi na kuchukulia wepesi amri ya Allaah na kutojali. Isitoshe huyu amefungua mlango wa isbaal na majanga. Baadhi ya watu hawajali. Hawajali hata kama kitu kinachukiza. Kwa mtazamo wao wanaona kinachochukiza ni sawa tu. Matokeo yake wanakifanya na hawajali.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24084/هل-تحريم-الاسبال-مقيد-بالتكبر
Imechapishwa: 25/08/2024
https://firqatunnajia.com/hakuna-kingine-zaidi-ya-kiburi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)