Swali: Katika baadhi ya nchi masanamu ya Mashaykh yanauzwa kwa watalii pasi na kukusudia yaabudiwe, bali kwa ajili ya mapambo?
Jibu: Ni haramu.
Swali: Je, hakufuru kwa kitendo hicho?
Jibu: Hapana, hakufuru. Mfano wa huyu anayeuza picha, hivi sasa kunauzwa picha za wanawake na picha za wanaume.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25348/حكم-بيع-الاصنام-للسواح-بقصد-الزينة
- Imechapishwa: 28/02/2025
Swali: Katika baadhi ya nchi masanamu ya Mashaykh yanauzwa kwa watalii pasi na kukusudia yaabudiwe, bali kwa ajili ya mapambo?
Jibu: Ni haramu.
Swali: Je, hakufuru kwa kitendo hicho?
Jibu: Hapana, hakufuru. Mfano wa huyu anayeuza picha, hivi sasa kunauzwa picha za wanawake na picha za wanaume.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25348/حكم-بيع-الاصنام-للسواح-بقصد-الزينة
Imechapishwa: 28/02/2025
https://firqatunnajia.com/kuuza-vinyago-na-picha-za-mashaykh-kwa-lengo-la-mapambo/