Swali: Je, inajuzu kufanya biashara ya mbwa wa uwindaji?
Jibu: Hapana, mbwa hauuzwi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuuza mbwa na akasema:
”Thamani ya mbwa ni najisi.”
Lakini anaweza kumlea tu na kumfundisha.
Swali: Je, mtu anatakiwa kulipa fidia ya thamani yake?
Jibu: Hapana, hakuna fidia wala kitu chochote, kwani hana thamani.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25326/ما-حكم-التجارة-في-كلاب-الصيد
- Imechapishwa: 28/02/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)