Kuuza mavazi ya mapambo

Swali: Vipi kuuza mavazi ya mapambo?

Jibu: Inategemea; ikiwa unajua kuwa wanawake hao wanayavaa kwa njia inayopingana na Shari´ah, basi usiwauzie. Na ikiwa hajui na mavazi hayo yanaweza kuvaliwa kwa hali zote; yanaweza kuvaliwa chini ya nguo nyingine na si lazima yavaliwe juu ya nguo, pengine yanavaliwa chini ya nguo au mbele ya mume, suala hili linahitaji upambanuzi.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23929/ما-حكم-بيع-الملابس-المتبرجة
  • Imechapishwa: 01/06/2024