Swali: Vipi kuhusu ambaye amesema kuwa inajuzu kuuza deni kwa deni, lakini kwa sharti la kupokea malipo kabla ya kuachana kwenye kikao?
Jibu: Hili halina tatizo, kama alivyosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Hakuna tatizo kuchukua kwa bei ya siku hiyo.”
Deni kwa deni linakuwa lote limecheleweshwa.
Swali: Vipi ikiwa limecheleweshwa?
Jibu: Hapana. Lakini ikiwa deni linabadilishwa kwa kitu kinacholipwa papohapo, basi hilo halihesabiwi kuwa deni.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25392/ما-حكم-بيع-الدين-بالدين
- Imechapishwa: 08/03/2025
Swali: Vipi kuhusu ambaye amesema kuwa inajuzu kuuza deni kwa deni, lakini kwa sharti la kupokea malipo kabla ya kuachana kwenye kikao?
Jibu: Hili halina tatizo, kama alivyosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Hakuna tatizo kuchukua kwa bei ya siku hiyo.”
Deni kwa deni linakuwa lote limecheleweshwa.
Swali: Vipi ikiwa limecheleweshwa?
Jibu: Hapana. Lakini ikiwa deni linabadilishwa kwa kitu kinacholipwa papohapo, basi hilo halihesabiwi kuwa deni.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25392/ما-حكم-بيع-الدين-بالدين
Imechapishwa: 08/03/2025
https://firqatunnajia.com/kuuza-deni-kwa-deni/