Swali: Vipi kuhusu ambaye amesema kuwa inajuzu kuuza deni kwa deni, lakini kwa sharti la kupokea malipo kabla ya kuachana kwenye kikao?
Jibu: Hili halina tatizo, kama alivyosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Hakuna tatizo kuchukua kwa bei ya siku hiyo.”
Deni kwa deni linakuwa lote limecheleweshwa.
Swali: Vipi ikiwa limecheleweshwa?
Jibu: Hapana. Lakini ikiwa deni linabadilishwa kwa kitu kinacholipwa papohapo, basi hilo halihesabiwi kuwa deni.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25392/ما-حكم-بيع-الدين-بالدين
- Imechapishwa: 08/03/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket