Swali: Je, kufanya chuku ni Sunnah?

Jibu: Udhahiri wa Hadiyth ni kwamba ni Sunnah. Hadiyth inasema:

”Dawa fanisi zaidi ya kujitibu nayo ni kuumikwa.”

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24057/هل-الحجامة-سنة
  • Imechapishwa: 22/08/2024