Swali: Inatosha kwa mtu kunyoa kichwa chake kwa mashine za kisasa au ni lazima atumie kifaa cha nyembe?
Jibu: Hapana, si lazima atumie kifaa cha nyembe. Mashine ya kisasa inachukua sehemu ya kifaa cha nyembe. Kama imewekwa kwenye milimeta 0, huku kunazingatiwa ni kunyoa. Ikiwa imewekwa kwenye milimita 1 au 2, huku kunazingatiwa ni kupunguza.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (22) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdatul-26-3-1435.mp3
- Imechapishwa: 21/03/2020
Swali: Inatosha kwa mtu kunyoa kichwa chake kwa mashine za kisasa au ni lazima atumie kifaa cha nyembe?
Jibu: Hapana, si lazima atumie kifaa cha nyembe. Mashine ya kisasa inachukua sehemu ya kifaa cha nyembe. Kama imewekwa kwenye milimeta 0, huku kunazingatiwa ni kunyoa. Ikiwa imewekwa kwenye milimita 1 au 2, huku kunazingatiwa ni kupunguza.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (22) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdatul-26-3-1435.mp3
Imechapishwa: 21/03/2020
https://firqatunnajia.com/kutumia-mashine-ya-kisasa-ya-nywele-badala-ya-kifaa-cha-nyembe/