Swali: Ni ipi hukumu kwa mwenye kuswali lakini haleti Adhkaar na Istighfaar baada yake?
Jibu: Huu ni upungufu. Ujira wake unapungua kwa kukosa kuleta Adhkaar zilizowekwa baada ya swalah. Huyu amejinyima mwenyewe. Anatakiwa kuleta Adhkaar baada ya swalah ili ujira wake utimie baada ya hapo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13980
Swali: Ni ipi hukumu kwa mwenye kuswali lakini haleti Adhkaar na Istighfaar baada yake?
Jibu: Huu ni upungufu. Ujira wake unapungua kwa kukosa kuleta Adhkaar zilizowekwa baada ya swalah. Huyu amejinyima mwenyewe. Anatakiwa kuleta Adhkaar baada ya swalah ili ujira wake utimie baada ya hapo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13980
https://firqatunnajia.com/kutoleta-adhkaar-za-baada-ya-swalah/