Swali: Nikitokwa na damu mapuani baada ya kutawadha nalazimika kurudi kutawadha upya?
Jibu: Ikiwa ndogo haidhuru. Ikiwa nyingi basi lililo salama zaidi mtu atawadhe. Kwa sababu wanachuoni wengi wa Fiqh wanaona kuwa damu nyingi inachengu wudhuu´. Lakini hata hivyo ni jambo halina dalili za wazi. Lililo salama zaidi kwa muislamu atawadhe tena upya kwa ajili ya kutoka ndani ya tofauti. Kwa ajili hii ndio maana al-Bukhaariy ametenga mlango ukisema: Wale wenye kuonelea kuwa wudhuu´ hauchenguki isipokuwa kwa kutokwa na kitu kwenye tupu ya mbele au ya nyuma. Kwa hiyo mtu akitokwa na damu nyingi lililo salama zaidi kwake atawadhe. Ama damu ndogo, kama tone moja, mbili n.k., hakuna neno.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (04) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/431/431.mp3
- Imechapishwa: 22/07/2018
Swali: Nikitokwa na damu mapuani baada ya kutawadha nalazimika kurudi kutawadha upya?
Jibu: Ikiwa ndogo haidhuru. Ikiwa nyingi basi lililo salama zaidi mtu atawadhe. Kwa sababu wanachuoni wengi wa Fiqh wanaona kuwa damu nyingi inachengu wudhuu´. Lakini hata hivyo ni jambo halina dalili za wazi. Lililo salama zaidi kwa muislamu atawadhe tena upya kwa ajili ya kutoka ndani ya tofauti. Kwa ajili hii ndio maana al-Bukhaariy ametenga mlango ukisema: Wale wenye kuonelea kuwa wudhuu´ hauchenguki isipokuwa kwa kutokwa na kitu kwenye tupu ya mbele au ya nyuma. Kwa hiyo mtu akitokwa na damu nyingi lililo salama zaidi kwake atawadhe. Ama damu ndogo, kama tone moja, mbili n.k., hakuna neno.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (04) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/431/431.mp3
Imechapishwa: 22/07/2018
https://firqatunnajia.com/kutokwa-na-damu-mapuani-baada-ya-kutawadha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)