Kutoka Muzdalifah kabla ya nusu ya usiku

Swali: Kuna mtu ametoka Muzdalifah na badala yake akaenda Minaa kabla ya nusu ya usiku na hakurudi. Ni kipi cha wajibu kwake?

Jibu: Ni wajibu kwake kutoa fidia; ni wajibu kwake kuchinja. Haijuzu kwake kutoka Muzdalifah isipokuwa baada ya nusu ya usiku.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (72) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighassat%20-11-01-1439h.mp3
  • Imechapishwa: 17/12/2017