Swali: Je, mtu anapata dhambi ikiwa hakuitikia wito wa ndugu yake?
Jibu: Ndio. Karamu ya harusi ni wajibu, isipokuwa tu ikiwa kama kutakuwa kuna kikwazo:
“… na akikwita muitikie.”
Ni moja ya haki ya muislamu juu ya muislamu mwenzake. Akikwita muitikie. Walima wa harusi unatiliwa nguvu zaidi kuliko wito mwingine.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (17) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-03-14.mp3
- Imechapishwa: 14/11/2014
Swali: Je, mtu anapata dhambi ikiwa hakuitikia wito wa ndugu yake?
Jibu: Ndio. Karamu ya harusi ni wajibu, isipokuwa tu ikiwa kama kutakuwa kuna kikwazo:
“… na akikwita muitikie.”
Ni moja ya haki ya muislamu juu ya muislamu mwenzake. Akikwita muitikie. Walima wa harusi unatiliwa nguvu zaidi kuliko wito mwingine.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (17) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-03-14.mp3
Imechapishwa: 14/11/2014
https://firqatunnajia.com/kutoitikia-wito-wa-harusi-wa-muislamu/