Swali: Nilikuwa nafanya kazi jeshini na kulikuwa na vita kwa muda wa miaka saba. Matokeo yake wakawaamrisha kutofunga Ramadhaan na kwamba wale. Nini anachotakiwa kufanya hivi sasa?
Jibu: Lipa siku unazodaiwa. Siku hizo ziko katika dhimma yako. Kama adui amevamia mji na watu wakalazimika kupambana, wana ruhusa ya kula kwa sababu jambo hilo linawapa nguvu za kupambana.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (19) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-22011435-01.mp3
- Imechapishwa: 07/12/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket