Swali: Je, tunaweza kusema ya kwamba yule mwenye kuthibitisha Dhati [ya Allaah] amethibitisha vilevile Sifa na kwamba mwenye kuthibitisha Sifa amethibitisha Dhati?
Jibu: Mwenye kuthibitisha Dhati analazimika kuthibitisha Sifa. Hili linamlazimu. Kuna uwezekano vilevile asizithibitishe kama Jahmiyyah. Lakini hili kwa hali yoyote linamlazimu. Kwa kuwa hakuna dhati ilio kivyake isiyokuwa na sifa. Kitu kisichokuwa na sifa ni kitu kisichopatikana. Hivyo, kuthibitisha Dhati kunalazimisha kuthibitisha Sifa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (05) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_05.mp3
- Imechapishwa: 31/05/2015
Swali: Je, tunaweza kusema ya kwamba yule mwenye kuthibitisha Dhati [ya Allaah] amethibitisha vilevile Sifa na kwamba mwenye kuthibitisha Sifa amethibitisha Dhati?
Jibu: Mwenye kuthibitisha Dhati analazimika kuthibitisha Sifa. Hili linamlazimu. Kuna uwezekano vilevile asizithibitishe kama Jahmiyyah. Lakini hili kwa hali yoyote linamlazimu. Kwa kuwa hakuna dhati ilio kivyake isiyokuwa na sifa. Kitu kisichokuwa na sifa ni kitu kisichopatikana. Hivyo, kuthibitisha Dhati kunalazimisha kuthibitisha Sifa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (05) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_05.mp3
Imechapishwa: 31/05/2015
https://firqatunnajia.com/kuthibitisha-dhati-kunalazimisha-kuthibitisha-sifa/