Swali: Ni ipi hukumu ya kuzitembelea nafasi za historia ya kiutume kama pango la Hiraa´, mlima wa Thawr na msikiti Qiblatayn?
Jibu: Ikiwa matembezi yanahusiana na kufanya Tabarruk au yanatokamana na kuonelea kuwa ni jambo limewekwa katika Shari´ah, ni Bid´ah. Haijuzu. Hata hivyo haina neno ikiwa mtu atayatembelea kwa ajili ya elimu. Ama ikiwa matembezi yanahusiana na kufanya Tabarruk au akawa anaamini kuwa kuyatembelea ni jambo limewekwa katika dini na lina ujira, hivyo itakuwa ni Bid´ah. Haijuzu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (21) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/1434-08-14.mp3
- Imechapishwa: 20/05/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kuzitembelea nafasi za historia ya kiutume kama pango la Hiraa´, mlima wa Thawr na msikiti Qiblatayn?
Jibu: Ikiwa matembezi yanahusiana na kufanya Tabarruk au yanatokamana na kuonelea kuwa ni jambo limewekwa katika Shari´ah, ni Bid´ah. Haijuzu. Hata hivyo haina neno ikiwa mtu atayatembelea kwa ajili ya elimu. Ama ikiwa matembezi yanahusiana na kufanya Tabarruk au akawa anaamini kuwa kuyatembelea ni jambo limewekwa katika dini na lina ujira, hivyo itakuwa ni Bid´ah. Haijuzu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (21) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/1434-08-14.mp3
Imechapishwa: 20/05/2018
https://firqatunnajia.com/kutembelea-pango-la-hiraa-mlima-wa-thawr-na-msikiti-qiblatayn/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)