Swali: Inajuzu kwa mtu anayetaka kutawadha kutaja jina la Allaah chooni mahali pa kukidhia haja?
Jibu: Ndio, Shaykh Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) anaonelea kuwa anatakiwa kutaja jina la Allaah kwa kuwa ni wajibu kumtaja Allaah. Kwa hivyo atawadhe kwa kumtaja Allaah hata kama yuko chooni. Anatakiwa kutekeleza wajibu wake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (7) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–15041434.mp3
- Imechapishwa: 26/12/2016
Swali: Inajuzu kwa mtu anayetaka kutawadha kutaja jina la Allaah chooni mahali pa kukidhia haja?
Jibu: Ndio, Shaykh Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) anaonelea kuwa anatakiwa kutaja jina la Allaah kwa kuwa ni wajibu kumtaja Allaah. Kwa hivyo atawadhe kwa kumtaja Allaah hata kama yuko chooni. Anatakiwa kutekeleza wajibu wake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (7) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–15041434.mp3
Imechapishwa: 26/12/2016
https://firqatunnajia.com/kutawadha-kwa-kumtaja-allaah-chooni/