Swali: Je, mtu ambaye anakunywa maji ya Zamzam anatakiwa kutamka kile alichonuia kama kwa mfano kusema: “Ee Allaah! Mimi nayanywa ili uniponye na magonjwa fulani.”?
Jibu: Hakuna neno. Muombe Allaah akuponye maradhi fulani.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (22) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdatul-26-3-1435.mp3
- Imechapishwa: 20/03/2020
Swali: Je, mtu ambaye anakunywa maji ya Zamzam anatakiwa kutamka kile alichonuia kama kwa mfano kusema: “Ee Allaah! Mimi nayanywa ili uniponye na magonjwa fulani.”?
Jibu: Hakuna neno. Muombe Allaah akuponye maradhi fulani.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (22) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdatul-26-3-1435.mp3
Imechapishwa: 20/03/2020
https://firqatunnajia.com/kutamka-duaa-wakati-wa-kunywa-zamzam/