Swali: Ni sawa kutahadharisha Bid´ah za mtu wa Bid´ah ambaye kishakufa ili watu watahadhari na shari za Bid´ah hii?
Jibu: Tahadharisha Bid´ah na achana na watu. Lakini ukiona mtu ni mwenye kudanganyika na mtu huyu na anachukua elimu kutoka kwake, mbainishie kuwa mtu huyu hafai na kwamba ni mzushi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20maji%20d%20-%2011%20-%201%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket