Swali: Mtu akipitwa na Witr anaweza kuiswali baada ya adhaana ya fajr?
Jibu: Alfajiri inapoingia hakuna Witr. Anaweza kuikidhi baada ya jua kuchomoza pamoja na ile shafa yake; ikiwa amezowea kuswali Rakaa´ tatu aswali nne kwa Tasliym mbili, ikiwa amezowea kuswali tano aswali sita na kadhalika.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (8) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340429.mp3
- Imechapishwa: 10/02/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket