Swali: Kuna mtu alikuwa anafikiri kuwa kumeshaswaliwa ´Aswr msikitini ambapo akawa ameswali mwenyewe. Baada ya kumaliza kuswali akasikia jinsi kunaswaliwa ´Aswr msikitini. Afanye nini?
Jibu: Ameshaswali. Ni mwenye kupewa udhuru kwa sababu alidhania kuwa watu wameshaswali. Ameshatekeleza faradhi yake kutokana na vile alivyodhania kuwa ni sahihi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-02.mp3
- Imechapishwa: 08/06/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)